Simba sc imeibuka na ushindi wa bao 2-0 baada ya kuwafunga Mbeya City ya Mbeya na kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi kuu kwa pointi 49
Danny lyanga aliiandika simba
goli la kwanza mnamo dakika ya 75 ya mchezo baada ya Awadh Juma kupiga shuti
liliotemwa na goli kipa.
Mnamo dakika ya 90 Ibrahim Ajibu aliandikia Simba Goli la la pili na la
ushindi
Hadi mpira una malizika Simba 2-0 Mbeya City Kwa Matokeo hayo simba anakuwa anaongoza msimamo wa ligi kwa tofauti ya point moja na Yanga pamoja na Azam aambao wanakiporo cha mchezo mmoja.
Post a Comment