Michezo miwili ya Ligi Kuu ya Vodacom
Tanzania (VPL) inatarajiwa kuchezwa leo katika viwanja viwili tofauti nchini kukamilisha raundi ya 22
Wekundu wa Msimbazi Simba Sports club watawakaribisha Ndanda FC kutoka Mtwara katika uwanja
wa Taifa jijini Dar es salaam, Simba itaingia kwenye mchezo huo ikiwa na kumbukumbu nzuri baada ya jumapili kuwafunga mbeya city goli 2-0 katika uwanja wa Taifa.
Mchezo mwingine wa ligi kuu leo wagonga nyundo wa jiji la Mbeya timu
ya Mbeya City wakiwakaribisha Stand United chama la wana katika uwanja
wa Sokoine.
About Author

Advertisement

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment