SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: LIGI KUU TNZANIA BARA: SIMBA KUONGOZA LIGI INAWAKARIBISHA MBEYA CITY TAIFA LEO
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Simba sports club leo wana nafasi ya kuongoza msimamo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara watakapowakaribisha Mbeya city katika uwanja wa Tai...
Simba sports club leo wana nafasi ya kuongoza msimamo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara watakapowakaribisha Mbeya city katika uwanja wa Taifa Dar es salaam.

Simba itahitaji ushindi ili kuweza kushika nafasi ya kwanza katika msimamo wa ligi hiyo baada ya vinara wa ligi hiyo kwa sasa Yanga na Azam wenye pointi 46 kwenda suluhu jana 

Kila la khery Simba Sports club leo


About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top