Wekundu wa Msimbazi Simba Sports wamekubali kichapo cha goli 2-0 toka kwa mahasimu wao wa jadi Yanga.
Magoli ya Yanga yalifungwa katika vipindi tofauti baada ya
beki wa kati Abdi Banda kutolewa nje kwa kadi nyekundu. Goli
la kwanza lilifungwa na mchezaji Donald Ngoma
dakika ya 39 kipindi cha kwanza.
kipindi cha pili Yanga walipata
goli la pili kupitia kwa mchezaji wake Amis Tambwe katika dakika ya 72 kipindi cha pili.
Kwa ushindi huo Yanga imekamata
usukani wa ligi kwa kufikisha alama 46 ikifuatiwa ma Simba yenye alama
45 sawa na Azam iliyoshinda mabao 3-0
Stand United ametoka sare ya bao 1-1 dhidi ya JKT Ruvu wakati mjini Tanga Mgambo imetoka sare ya bao 1-1 na Prisons.
SIMBA YAKUBALI KICHAPO KUTOKA KWA YANGA
Title: SIMBA YAKUBALI KICHAPO KUTOKA KWA YANGA
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Wekundu wa Msimbazi Simba Sports wamekubali kichapo cha goli 2-0 toka kwa mahasimu wao wa jadi Yanga. Magoli ya Yanga yalifungwa katika...
Post a Comment