Wekundu wa msimbazi Simba sports club wamefuzu hatua ya robo fainali ya
michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya kuichapa team ya daraja la kwanza Singida united ya mkoani singida kwa bao 5-1 kwenye uwanja wa taifa.
Hamis Kiiza na Awadh Juma walifunga mabao mawili, Danny
lyanga alifunga bao moja na kufanya mchezo huo kumalizika
kwa ushindi wa bao 5-1
Kwa ushindi huo Simba inatinga hatua ya robo fainali ikiungana na Yanga, Coastal union, Ndanda na Mwadui
About Author

Advertisement

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment