Mzunguko wa tatu wa michuano wa Kombe la Shirikisho (Azam Sports
Federation Cup) unatarajiwa kuendelea wikiendi hii kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini.
leo jumamosi michezo mitatu itachezwa, mjini Morogoro Burkinfaso FC
watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Jamhuri mjini humo, Pamba FC
watawakaribisha Toto Africans uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, huku
Ndanda FC wakichea dhidi ya Mshikamno FC katika uwanja wa Nagwanda
Sijaona Mtwara
SIMBA KUKIPIGA NA BURKINAFASO LEO KOMBE LA FA MZUNGUKO WA TATU
Title: SIMBA KUKIPIGA NA BURKINAFASO LEO KOMBE LA FA MZUNGUKO WA TATU
Author: Kalaghe Secondary School
Rating 5 of 5 Des:
Author: Kalaghe Secondary School
Rating 5 of 5 Des:
Mzunguko wa tatu wa michuano wa Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) unatarajiwa kuendelea wikiendi hii kuchezwa katika viwan...
Post a Comment