Mabingwa watetezi wa kombe la Mapinduzi
Simba SC wameaga rasmi mashindano ya kombe la Mapinduzi mwaka
2016 baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0 toka kwa Mtibwa Sugar.
Kwa matokeo hayo Mtibwa wanatinga hatua ya fainali na kukutana na URA ambao wamewaondoa Yanga kwa mikwaju ya penat ya (4-3)
Fainali ya Mapinduzi cvup itapigwa siku ya jumatano
MTIBWA YAIVUA UBINGWA SIMBA KUKUTANA NA URA FAINALI
Title: MTIBWA YAIVUA UBINGWA SIMBA KUKUTANA NA URA FAINALI
Author: Kalaghe Secondary School
Rating 5 of 5 Des:
Author: Kalaghe Secondary School
Rating 5 of 5 Des:
Mabingwa watetezi wa kombe la Mapinduzi Simba SC wameaga rasmi mashindano ya kombe la Mapinduzi mwaka 2016 baada ya kukubali kichapo cha b...
Post a Comment