Kalaghe Secondary School Kalaghe Secondary School Author
Title: MAPINDUZI CUP: SIMBA YATINGA NUSU FAINALI KUVAANA NA MTIBWA JUMAPILI
Author: Kalaghe Secondary School
Rating 5 of 5 Des:
Mabingwa watetezi Wa kombe la Mapinduzi Simba SC  imeibuka na ushindi Wa bao 1-0 dhidi ya Jku ya Zanzibar Bao pekee la Simba liliwekwa ny...
Mabingwa watetezi Wa kombe la Mapinduzi Simba SC  imeibuka na ushindi Wa bao 1-0 dhidi ya Jku ya Zanzibar
Bao pekee la Simba liliwekwa nyavuni katika dakika ya 65 na Jonas Mkude kwa kichwa akimalizia krosi safi ya beki wa kulia Emery Nimubona ambaye ameonyesha kiwango cha juu katika michuano hii ya kombe la Mapinduzi.
Kwa matokeo hayo Simba imeongoza kundi A hivyo itaumana na Mtibwa siku ya jumapili saa 10:15 alasiri huku Yanga wao wakipepetana na URA siku hiyo hiyo saa 2:15 usiku. Fainali ya michuano hii itapigwa siku ya jumatano.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top