Kalaghe Secondary School Kalaghe Secondary School Author
Title: LGI KUU TANZANIA BARA: SIMBA YAENDELEA KUTEMBEZA DOZI TAIFA
Author: Kalaghe Secondary School
Rating 5 of 5 Des:
Klabu ya Simba imeibuka na ushindi wa bao 4-0 kwenye mchezo wa kwanza wa raundi ya pili ya ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu huu. ...
Klabu ya Simba imeibuka na ushindi wa bao 4-0 kwenye mchezo wa kwanza wa raundi ya pili ya ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu huu.

Hamis Kiiza alifunga mabao mawili, Hassan Kessy  na Haji  Ugando  waliifunga bao moja moja na kufanya  mchezo huo  kumalizika kwa ushindi wa bao 4-0 

 Kwa matokeo hayo Simba imefikisha  pointi 36 katika nafasi ya tatu  pointi 3 nyuma ya Yanga na Azam zinazoongoza  ligi hiyo.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top