SDF SPORTS SDF SPORTS Author
Title: MORATA KUKAA NJE MWEZI MZIMA
Author: SDF SPORTS
Rating 5 of 5 Des:
Mshambuliaji mpya wa wa Chelsea Alvaro Morata huenda Akakaa nje kwa zaidi ya mwezi mmoja baada ya kuumi misuli ya paja wakati wa mechi wali...
Mshambuliaji mpya wa wa Chelsea Alvaro Morata huenda Akakaa nje kwa zaidi ya mwezi mmoja baada ya kuumi misuli ya paja wakati wa mechi waliofungwa 1-0 Manchester City Jumapili.
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 24 alijiunga na Chelsea kwa £60m majira ya joto kutoka Real Madrid, ada iliyovunja rekodi Chelsea.
Madaktari wa timu ya taifa ya Uhispania wanasema alipata jeraha la kwenye misuli yake na hataweza kucheza mechi za kufuzu za Kombe la Dunia dhidi ya Albania na Israel wiki hii.

Majeraha kama hayo kwenye misuli mara nyingi huchukua wiki nne hadi nane kupona.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top